-
Ufunuo 15:4Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuhofu wewe, Yehova, na kulitukuza jina lako, kwa sababu wewe peke yako ni mwaminifu-mshikamanifu? Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele yako, kwa sababu maagizo yako ya uadilifu yamefanywa kuwa dhahiri.”
-