Yoshua 10:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Ilikuwa wakati huo, siku Yehova aliondoa Waamori mbele ya macho ya Waisraeli, ndipo Yoshua alimuambia Yehova mbele ya Israeli: “Jua, simama bila kutikisika+ juu ya Gibeoni,+ Na mwezi, juu ya Bonde* la Aiyaloni.” 2 Mambo ya Nyakati 32:31 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 31 Hata hivyo, wakati wasemaji wa wakubwa wa Babiloni walitumwa ili wamuulize juu ya alama*+ yenye ilikuwa imetokea katika inchi,+ Mungu wa kweli alimuacha peke yake ili kumujaribu,+ ili ajue mambo yote yenye yalikuwa katika moyo wake.+
12 Ilikuwa wakati huo, siku Yehova aliondoa Waamori mbele ya macho ya Waisraeli, ndipo Yoshua alimuambia Yehova mbele ya Israeli: “Jua, simama bila kutikisika+ juu ya Gibeoni,+ Na mwezi, juu ya Bonde* la Aiyaloni.”
31 Hata hivyo, wakati wasemaji wa wakubwa wa Babiloni walitumwa ili wamuulize juu ya alama*+ yenye ilikuwa imetokea katika inchi,+ Mungu wa kweli alimuacha peke yake ili kumujaribu,+ ili ajue mambo yote yenye yalikuwa katika moyo wake.+