-
2 Wafalme 9:17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
17 Wakati mulinzi alikuwa amesimama juu ya munara katika Yezreeli, aliona kundi kubwa la wanaume wa Yehu likikaribia. Mara moja akasema: “Ninaona kundi kubwa la wanaume.” Yehoramu akasema: “Chukua mupanda-farasi mumoja na umutume akutane nao, na aseme, ‘Munakuja kwa amani?’”
-