Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 25:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yeye kwa kweli atameza kifo milele,+ na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hakika atafuta machozi katika nyuso zote.+ Na shutuma ya watu wake ataiondoa katika dunia yote,+ kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo.

  • Marko 12:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Lakini kuhusu wafu, kwamba wanafufuliwa, je, hamkusoma katika kitabu cha Musa, katika masimulizi juu ya ule mti wa miiba, jinsi Mungu alivyomwambia, ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo’?+

  • Yohana 11:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Martha akamwambia: “Ninajua atafufuka katika ufufuo+ siku ya mwisho.”

  • Yohana 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima;+

  • 1 Wakorintho 15:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa kuwa kifo+ ni kupitia mwanadamu, ufufuo+ wa wafu pia ni kupitia mwanadamu.

  • 1 Wathesalonike 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana ikiwa imani yetu ni kwamba Yesu alikufa na kufufuliwa tena,+ vivyo hivyo pia, wale ambao wamelala usingizi katika kifo kupitia Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki