8 Yeye kwa kweli atameza kifo milele,+ na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hakika atafuta machozi katika nyuso zote.+ Na shutuma ya watu wake ataiondoa katika dunia yote,+ kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo.
26 Lakini kuhusu wafu, kwamba wanafufuliwa, je, hamkusoma katika kitabu cha Musa, katika masimulizi juu ya ule mti wa miiba, jinsi Mungu alivyomwambia, ‘Mimi ni Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo’?+
14 Kwa maana ikiwa imani yetu ni kwamba Yesu alikufa na kufufuliwa tena,+ vivyo hivyo pia, wale ambao wamelala usingizi katika kifo kupitia Yesu, Mungu atawaleta pamoja naye.+