- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 33:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        6 Naye mwenyewe akawapitisha wanawe mwenyewe motoni+ katika bonde la mwana wa Hinomu,+ akafanya uchawi+ na kutumia uaguzi+ na kufanya ulozi+ na kufanyiza wenye kuwasiliana na pepo+ na wajuzi wa kubashiri+ matukio. Alifanya kwa kiasi kikubwa yale yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, na kumtia uchungu.+ 
 
-