-
2 Wafalme 17:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 nao wakaendelea kuwapitisha motoni+ wana wao na binti zao na kufanya uaguzi+ na kutafuta ishara za bahati,+ nao wakaendelea kujiuza+ ili kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, ili kumtia uchungu;+
-
Ezekieli 20:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Na katika kuinua zawadi zenu kwa kuwafanya wana wenu wapite katikati ya moto,+ je, mnajitia unajisi kwa ajili ya sanamu zenu zote za mavi mpaka leo hii?+ Wakati huohuo je, mtauliza neno juu yangu, Ee nyumba ya Israeli?” ’+
“ ‘Kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘Hamtauliza juu yangu.+
-
-
-