Marko 6:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Lakini baada ya kuwaaga akaenda mlimani ili asali.+ Luka 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Siku hizo zilipokuwa zikiendelea alienda mlimani kusali,+ naye akaendelea kusali kwa Mungu usiku wote.+ Luka 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baadaye, alipokuwa akisali peke yake, wanafunzi walimjia pamoja, naye akawauliza, akisema: “Umati unasema mimi ni nani?”+
12 Siku hizo zilipokuwa zikiendelea alienda mlimani kusali,+ naye akaendelea kusali kwa Mungu usiku wote.+
18 Baadaye, alipokuwa akisali peke yake, wanafunzi walimjia pamoja, naye akawauliza, akisema: “Umati unasema mimi ni nani?”+