Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 26:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Wafu wako wataishi.+ Maiti wangu—wataamka.+ Amkeni, pigeni vigelegele kwa shangwe, enyi mnaokaa mavumbini!+ Kwa maana umande+ wako ni kama umande wa miholi,+ na dunia itawaacha hata wale wasiojiweza katika kifo waanguke katika kuzaliwa.+

  • Danieli 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na kutakuwa na wengi kati ya wale waliolala katika mavumbi ya nchi ambao wataamka,+ hawa kwa ajili ya uzima unaodumu mpaka wakati usio na kipimo+ na wale kwa ajili ya shutuma na chuki zinazodumu mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Mathayo 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa habari ya ufufuo wa wafu, je, hamkusoma mliloambiwa na Mungu, akisema,+

  • Yohana 5:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Msistaajabie jambo hili, kwa sababu saa inakuja ambayo wale wote waliomo ndani ya makaburi ya ukumbusho+ wataisikia sauti yake

  • Yohana 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yesu akamwambia: “Mimi ndiye ufufuo na uzima.+ Yule anayeniamini, hata akifa, atarudi kwenye uzima;+

  • Ufunuo 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo,+ wamesimama mbele ya kile kiti cha ufalme, na vitabu vya kukunjwa vikafunguliwa. Lakini kitabu kingine cha kukunjwa kikafunguliwa; hicho ni kitabu cha uzima.+ Na wafu wakahukumiwa kutokana na mambo yale yaliyoandikwa katika vile vitabu kulingana na matendo yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki