Mathayo 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na hii habari njema+ ya ufalme+ itahubiriwa katika dunia yote inayokaliwa ili kuwa ushahidi kwa mataifa yote;+ na ndipo ule mwisho+ utakapokuja. Waroma 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana ukitangaza waziwazi lile ‘neno lililo katika kinywa chako mwenyewe,’+ kwamba Yesu ni Bwana,+ na kuonyesha imani moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu,+ utaokolewa.+
14 Na hii habari njema+ ya ufalme+ itahubiriwa katika dunia yote inayokaliwa ili kuwa ushahidi kwa mataifa yote;+ na ndipo ule mwisho+ utakapokuja.
9 Kwa maana ukitangaza waziwazi lile ‘neno lililo katika kinywa chako mwenyewe,’+ kwamba Yesu ni Bwana,+ na kuonyesha imani moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu,+ utaokolewa.+