Mathayo 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Baada ya kuuaga umati, akapanda mlimani akiwa peke yake ili kusali.+ Ilipofika jioni, alikuwa peke yake huko. Marko 6:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Kisha, bila kukawia, akawaagiza wanafunzi wake wapande mashua watangulie kuelekea Bethsaida ng’ambo ya bahari, huku yeye akiuaga umati.+
23 Baada ya kuuaga umati, akapanda mlimani akiwa peke yake ili kusali.+ Ilipofika jioni, alikuwa peke yake huko.
45 Kisha, bila kukawia, akawaagiza wanafunzi wake wapande mashua watangulie kuelekea Bethsaida ng’ambo ya bahari, huku yeye akiuaga umati.+