-
Mathayo 14:23Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
23 Mwishowe, akiisha kuacha umati uende zao, yeye akapanda kwenda katika mlima akiwa peke yake mwenyewe ili kusali. Ingawa ilikuwa jioni-jioni, alikuwa huko peke yake.
-