21 Na Yehova akaanza kunusa harufu ya kutuliza,+ na kwa hiyo Yehova akasema moyoni mwake:+ “Sitailaani nchi+ tena kamwe kwa sababu ya mwanadamu, kwani mwelekeo+ wa moyo wa mwanadamu ni mbaya tangu ujana wake na kuendelea;+ nami sitakipiga tena kamwe kila kitu chenye uhai kama vile nilivyofanya.+
2 na endeleeni kutembea katika upendo,+ kama vile Kristo pia alivyowapenda ninyi+ na kujitoa mwenyewe kwa ajili yenu kuwa toleo+ na dhabihu kwa Mungu ili kuwa harufu tamu.+
18 Hata hivyo, mimi nina vitu vyote kwa ukamili nami nina wingi. Nimejaa, kwa kuwa sasa nimepokea kutoka kwa Epafrodito+ vitu vilivyotoka kwenu, harufu tamu,+ dhabihu yenye kukubalika,+ inayompendeza Mungu vyema.